ニュース
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa suala la mabadiliko ya Katiba lipo kwenye ajenda ya serikali na litatekelezwa ndani ya ...
DODOMA — Rais Samia Suluhu Hassan, ametahadharisha kuwa vyombo vya dola vitakuwa macho kipindi chote cha uchaguzi kwa ajili ...
Akihutubia Bunge, Rais Samia amesema kuwa ongezeko la deni la taifa limesababishwa na mchanganyiko wa mikopo iliyosainiwa ...
Akihutubia Bunge leo Juni 27, 2025, Rais Samia amesema safari mpya za ATCL zitajumuisha nchi za Nigeria, Msumbiji, Oman na ...
DODOMA — Ajira za moja kwa moja 9,376 tayari zimezalishwa kupitia utekelezaji wa mradi wa reli ya kisasa ya SGR, huku kampuni ...
Rais amesema zaidi ya ya wasafiri milioni mbili wametumia usafiri huo huku ukusanyaji wa maduhuli ukifikia Sh bilioni 60.88.
DODOMA — Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa Bunge la 12 litavunjwa rasmi Agosti 03, kufuatia kukamilika kwa kipindi ...
DODOMA :RAIS wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan amesema serikali imeboresha bajeti ya mahakama kutoka Sh bilioni 162.2 kwa ...
Akihutubia katika hafla ya kufunga rasmi Bunge hilo jijini Dodoma, Rais Samia aliwakumbuka kwa heshima kubwa Hayati Dk. John ...
DODOMA :RAIS wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan amesema uhuru wa habari na watu kutoa maoni yao umeongezeka tofauti na hapo ...
DODOMA; DODOMA; Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan alivyowasili katika Viwanja vya Bunge na kukagua gwaride maalum ...
DODOMA; Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, amempongeza Spika wa Bunge la la Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge ...
一部の結果でアクセス不可の可能性があるため、非表示になっています。
アクセス不可の結果を表示する